Kama ni mapenzi: аккорды на гитаре
На этой странице вы найдёте аккорды песни «Kama ni mapenzi» для гитары, а также полный текст композиции. Аккорды и текст размещены в обучающих целях, чтобы начинающим гитаристам было проще разобраться, как играть песню «Kama ni mapenzi» на гитаре.
Как играть на гитаре песню «Kama ni mapenzi»: аккорды, текст, разбор
Для начала давайте ознакомимся с оригинальными аккордами, которые используются в композиции «Kama ni mapenzi», оценим, реально ли научиться играть эту песню на гитаре для начинающих гитаристов, а затем посмотрим слова и аккорды песни и перейдём к разбору.
Аккорды песни «Kama ni mapenzi» для гитары
Чтобы сыграть песню «Kama ni mapenzi» на гитаре, вам нужно выучить следующие аккорды:
- A
- E
- B
- D
Слова песни «Kama ni mapenzi» с аккордами
A E kama ni mapenzi B – D ya kuniudhi kila saa, ya kunifanya mi kulia A E na kama huridhiki B – D na mbona hujasema, ili niweze rekebisha A E ilifaa ni mambo shwari B – D nikiamini u kwangu, na kukusifu kwa wazazi A E hujali tena hisia zangu B – D sijui tunapokwenda, lakini najua tulipotoka B – A E kutoka sitoki nimetekwa nyara B – A E kukuwacha siwezi kibarua ngumu B – A E nashindwa ni nini ntafanya uridhike B – A nimetekwa ndani, mtandao wa mapenzi E basi nakuomba, uniteke tu bila mateso A E B – D tazama, nimezama, ndani ya bahari, la penzi lako A E B – D siwezi, kusonga mbele, kurudi nyuma, sijielewi A E B– haya mapenzi ya fujo hayafai A E B – kama wanipenda, jaribu kunipa raha A E mi nashangaa, watu wakisema B – D eti tunapendana, japo tunazozana A E ni vizuri mami, kumba kuwa na siri B – D lakini jaribu, tusuluhishe A E bila hivyo, itakuwa mteso B – D wa kuigiza, kwenye mambo bandia A E mimi sitaki, mambo ya kujifanya B – D ati tunapendana, tena tunatesana B – A E nimejaribu sana kujitoa ndani B – A E kila nikipanga napangua mwenyewe B – A E natamani sana ungeelewa hivyo B – A E mimi mateka, mimi pumbavu (mabusu), wa penzi lako nieleze ni lini ntakuwa huru tazama, nimezama... jaribu baby...mambo, ya kunifanya kumbafu haifai mambo yo yo yo yo yo...haifai, jaribu baby, tusuluhishe nimejaribu sana kujitoa ndani... tazama, nimezama... haya mapenzi ya fujo hayafai kama wanipenda, jaribu kunipa raha...(ad libitum)